Sura

  1. 1
  2. 2
  3. 3
  4. 4
  5. 5
  6. 6
  7. 7
  8. 8
  9. 9
  10. 10
  11. 11
  12. 12
  13. 13
  14. 14
  15. 15
  16. 16
  17. 17
  18. 18
  19. 19
  20. 20
  21. 21
  22. 22
  23. 23
  24. 24
  25. 25
  26. 26
  27. 27
  28. 28
  29. 29
  30. 30
  31. 31
  32. 32
  33. 33
  34. 34
  35. 35
  36. 36
  37. 37
  38. 38
  39. 39
  40. 40
  41. 41
  42. 42

Agano la Kale

Agano Jipya

Zaburi 23 Biblia Habari Njema (BHN)

Mungu mchungaji wangu

(Zaburi ya Daudi)

1. Mwenyezi-Mungu ni mchungaji wangu,sitapungukiwa na kitu.

2. Hunipumzisha kwenye malisho mabichi;huniongoza kando ya maji matulivu,

3. na kuirudishia nafsi yangu nguvu mpya.Huniongoza katika njia sawakwa hisani yake.

4. Nijapopita katika bonde la giza kuu la kifo,sitaogopa hatari yoyote,maana wewe ee Mwenyezi-Mungu u pamoja nami;gongo lako na fimbo yako vyanilinda.

5. Umeniandalia karamu mbele ya maadui zangu;umenipaka mafuta kichwani pangu;kikombe changu umekijaza mpaka kufurika.

6. Kweli wema wako na fadhili zako zitakuwa pamoja nami,siku zote za maisha yangu;nami nitakaa nyumbani mwa Mwenyezi-Mungu milele.