Sura

  1. 1
  2. 2
  3. 3
  4. 4
  5. 5
  6. 6
  7. 7
  8. 8
  9. 9
  10. 10
  11. 11
  12. 12
  13. 13
  14. 14
  15. 15
  16. 16
  17. 17
  18. 18
  19. 19
  20. 20
  21. 21
  22. 22
  23. 23
  24. 24
  25. 25
  26. 26
  27. 27
  28. 28
  29. 29
  30. 30
  31. 31
  32. 32
  33. 33
  34. 34
  35. 35
  36. 36
  37. 37
  38. 38
  39. 39
  40. 40
  41. 41
  42. 42

Agano la Kale

Agano Jipya

Zaburi 13 Biblia Habari Njema (BHN)

Kuomba msaada

(Kwa Mwimbishaji. Zaburi ya Daudi)

1. Mpaka lini ee Mwenyezi-Mungu, utanisahau?Je, utanisahau mpaka milele?Mpaka lini utanificha uso wako?

2. Nitakuwa na wasiwasi rohoni hadi lini,na sikitiko moyoni siku hata siku?Hadi lini adui zangu watafurahia taabu zangu?

3. Uniangalie na kunijibu, ee Mwenyezi-Mungu, Mungu wangu.Uyaangazie macho yangu, nisipatwe na usingizi wa kifo.

4. Usiwaache maadui zangu waseme: “Tumemweza huyu!”Watesi wangu wasije wakafurahia kuanguka kwangu.

5. Lakini mimi nazitumainia fadhili zako;moyo wangu na ufurahie wokovu wako.

6. Nitakuimbia wewe, ee Mwenyezi-Mungu,kwa ukarimu mwingi ulionitendea!