Agano la Kale

Agano Jipya

Ufu. 4:7 Swahili Union Version (SUV)

Na huyo mwenye uhai wa kwanza alikuwa mfano wa simba; na mwenye uhai wa pili alikuwa mfano wa ndama; na mwenye uhai wa tatu alikuwa na uso kama uso wa mwanadamu; na mwenye uhai wa nne alikuwa mfano wa tai arukaye.

Kusoma sura kamili Ufu. 4

Mtazamo Ufu. 4:7 katika mazingira