Agano la Kale

Agano Jipya

Ufu. 4:8 Swahili Union Version (SUV)

Na hawa wenye uhai wanne, kila mmoja alikuwa na mabawa sita; na pande zote na ndani wamejaa macho, wala hawapumziki mchana wala usiku, wakisema, Mtakatifu, Mtakatifu, Mtakatifu, Bwana Mungu Mwenyezi, aliyekuwako na aliyeko na atakayekuja.

Kusoma sura kamili Ufu. 4

Mtazamo Ufu. 4:8 katika mazingira