Agano la Kale

Agano Jipya

Ufu. 4:6 Swahili Union Version (SUV)

Na mbele ya kile kiti cha enzi kulikuwa na mfano wa bahari ya kioo, kama bilauri; na katikati ya kile kiti cha enzi, na pande zote za kile kiti, walikuwako wenye uhai wanne, wamejaa macho mbele na nyuma.

Kusoma sura kamili Ufu. 4

Mtazamo Ufu. 4:6 katika mazingira