Agano la Kale

Agano Jipya

Yeremia 8:20-22 Biblia Habari Njema (BHN)

20. “Mavuno yamepita, kiangazi kimekwisha,nasi bado hatujaokolewa!

21. Jeraha la watu wangu limeniumiza moyoni,ninaomboleza na kufadhaika.

22. Je, hakuna dawa ya kupaka huko Gileadi?Je, hakuna mganga huko?Mbona basi watu wangu hawajaponywa?

Kusoma sura kamili Yeremia 8