Agano la Kale

Agano Jipya

Yeremia 8:19 Biblia Habari Njema (BHN)

Sikiliza kilio cha watu wangu,kutoka kila upande katika nchi.“Je, Mwenyezi-Mungu hayuko Siyoni?Je, mfalme wake hayuko tena huko?”“Mbona wamenikasirisha kwa sanamu zao za miungu,na vinyago vyao vya miungu ya kigeni?”

Kusoma sura kamili Yeremia 8

Mtazamo Yeremia 8:19 katika mazingira