Agano la Kale

Agano Jipya

Yeremia 8:16 Biblia Habari Njema (BHN)

Sauti za farasi wao zinasikika,kwa mlio wa farasi wao wa vita,nchi nzima inatetemeka.Wanafika na kuiharibu nchi na vyote vilivyomo,kuangamiza mji pamoja na wote waishio humo.

Kusoma sura kamili Yeremia 8

Mtazamo Yeremia 8:16 katika mazingira