Agano la Kale

Agano Jipya

Yeremia 6:21 Biblia Habari Njema (BHN)

Kwa hiyo mimi Mwenyezi-Mungu nasema hivi:Tazama, nitawawekea watu hawa vikwazoambavyo vitawakwaza na kuwaangusha chini.Akina baba na watoto wao wa kiume wataangamia,kadhalika na majirani na marafiki.”

Kusoma sura kamili Yeremia 6

Mtazamo Yeremia 6:21 katika mazingira