Agano la Kale

Agano Jipya

Yeremia 13:7 Biblia Habari Njema (BHN)

Basi, nikaenda kwenye mto Eufrate, nikachimbua na kukitoa kile kikoi mahali nilipokuwa nimekificha. Nilipokitoa, nilishangaa kukiona kuwa kilikuwa kimeharibika kabisa; kilikuwa hakifai tena.

Kusoma sura kamili Yeremia 13

Mtazamo Yeremia 13:7 katika mazingira