Agano la Kale

Agano Jipya

Waamuzi 2:18 Biblia Habari Njema (BHN)

Kila mara Mwenyezi-Mungu alipowapelekea mwamuzi, yeye mwenyewe alikuwa pamoja na mwamuzi huyo, akawaokoa mikononi mwa adui zao muda wote wa uhai wa mwamuzi huyo. Aghalabu, Mwenyezi-Mungu aliwaonea huruma aliposikia kilio chao kutokana na mateso na dhuluma walizofanyiwa.

Kusoma sura kamili Waamuzi 2

Mtazamo Waamuzi 2:18 katika mazingira