Agano la Kale

Agano Jipya

Waamuzi 2:17 Biblia Habari Njema (BHN)

Hata hivyo, Waisraeli hawakuwasikiliza waamuzi wao, maana walifanya kama wazinzi kwa kufuata miungu mingine na kuisujudia. Waliacha upesi nyayo walizofuata babu zao ambao walitii amri za Mwenyezi-Mungu; bali wao hawakufanya hivyo.

Kusoma sura kamili Waamuzi 2

Mtazamo Waamuzi 2:17 katika mazingira