Agano la Kale

Agano Jipya

Nehemia 7:7-20 Biblia Habari Njema (BHN)

7. Waliporudi waliongozwa na Zerubabeli, Yeshua, Nehemia, Azaria, Raamia, Nahamani, Mordekai, Bilshani, Misperethi, Bigwai, Nehumu na Baana. Ifuatayo ni idadi ya watu wa koo za Israeli waliorudi toka uhamishoni:

8. Watu wa ukoo wa Paroshi: 2,172;

9. wa ukoo wa Shefatia: 372;

10. wa ukoo wa Ara: 652;

11. wa ukoo wa Pahath-moabu, yaani wazawa wa Yeshua na Yoabu: 2,818;

12. wa ukoo wa Elamu: 1,254;

13. wa ukoo wa Zatu: 845;

14. wa ukoo wa Zakai: 760;

15. wa ukoo wa Binui: 648;

16. wa ukoo wa Bebai: 624;

17. wa ukoo wa Azgadi: 2,322;

18. wa ukoo wa Adonikamu: 667;

19. wa ukoo wa Bigwai: 2,067;

20. wa ukoo wa Adini: 655;

Kusoma sura kamili Nehemia 7