Agano la Kale

Agano Jipya

Nehemia 7:7 Biblia Habari Njema (BHN)

Waliporudi waliongozwa na Zerubabeli, Yeshua, Nehemia, Azaria, Raamia, Nahamani, Mordekai, Bilshani, Misperethi, Bigwai, Nehumu na Baana. Ifuatayo ni idadi ya watu wa koo za Israeli waliorudi toka uhamishoni:

Kusoma sura kamili Nehemia 7

Mtazamo Nehemia 7:7 katika mazingira