50. wa Reaya, wa Resini, wa Nekoda;
51. wa Gazamu, wa Uza, wa Pasea;
52. wa Besai, wa Meunimu, wa Nefushesimu;
53. wa Bakbuki, wa Hakufa, wa Harhuri;
54. wa Baslithi, wa Mehida, wa Harsha;
55. wa Barkosi, wa Sisera, wa Tema;
56. wa Nezia na ukoo wa Hatifa.
57. Koo za wazawa wa watumishi wa mfalme Solomoni waliorudi kutoka uhamishoni zilikuwa: Ukoo wa Sotai, wa Soferethi, wa Perida;
58. wa Yaala, wa Darkoni, wa Gideli;
59. ukoo wa Shefatia, wa Hatili, wa Pokereth-hasebaimu na ukoo wa Amoni.
60. Basi wahudumu wote wa hekalu na wazawa wa watumishi wa Solomoni, waliorudi kutoka uhamishoni, walikuwa 392.
61. Watu wa miji ifuatayo, nao walirudi: Wa Tel-mela, wa Tel-harsha, wa Kerubu, wa Adoni na wa Imeri; ila haikuwezekana kuthibitisha kama walikuwa wazawa wa Waisraeli
62. wazawa wa Delaya, Tobia na wa Nekoda; jumla: Watu 642.
63. Wazawa wa koo zifuatazo za makuhani pia walirudi: Ukoo wa Hobaya, wa Hakozi na wa Barzilai (aliyekuwa ameoa binti za Barzilai, Mgileadi, naye akachukua jina la ukoo huo).