Agano la Kale

Agano Jipya

Nehemia 7:64 Biblia Habari Njema (BHN)

Hao walitafuta orodha yao kati ya wengine walioorodheshwa katika kumbukumbu za koo, lakini ukoo wao haukuwemo. Kwa hiyo hawakuruhusiwa kutiwa katika huduma ya ukuhani kwani walihesabiwa kuwa najisi.

Kusoma sura kamili Nehemia 7

Mtazamo Nehemia 7:64 katika mazingira