Agano la Kale

Agano Jipya

Nehemia 7:49-64 Biblia Habari Njema (BHN)

49. wa Hanani, wa Gideli, wa Gahari;

50. wa Reaya, wa Resini, wa Nekoda;

51. wa Gazamu, wa Uza, wa Pasea;

52. wa Besai, wa Meunimu, wa Nefushesimu;

53. wa Bakbuki, wa Hakufa, wa Harhuri;

54. wa Baslithi, wa Mehida, wa Harsha;

55. wa Barkosi, wa Sisera, wa Tema;

56. wa Nezia na ukoo wa Hatifa.

57. Koo za wazawa wa watumishi wa mfalme Solomoni waliorudi kutoka uhamishoni zilikuwa: Ukoo wa Sotai, wa Soferethi, wa Perida;

58. wa Yaala, wa Darkoni, wa Gideli;

59. ukoo wa Shefatia, wa Hatili, wa Pokereth-hasebaimu na ukoo wa Amoni.

60. Basi wahudumu wote wa hekalu na wazawa wa watumishi wa Solomoni, waliorudi kutoka uhamishoni, walikuwa 392.

61. Watu wa miji ifuatayo, nao walirudi: Wa Tel-mela, wa Tel-harsha, wa Kerubu, wa Adoni na wa Imeri; ila haikuwezekana kuthibitisha kama walikuwa wazawa wa Waisraeli

62. wazawa wa Delaya, Tobia na wa Nekoda; jumla: Watu 642.

63. Wazawa wa koo zifuatazo za makuhani pia walirudi: Ukoo wa Hobaya, wa Hakozi na wa Barzilai (aliyekuwa ameoa binti za Barzilai, Mgileadi, naye akachukua jina la ukoo huo).

64. Hao walitafuta orodha yao kati ya wengine walioorodheshwa katika kumbukumbu za koo, lakini ukoo wao haukuwemo. Kwa hiyo hawakuruhusiwa kutiwa katika huduma ya ukuhani kwani walihesabiwa kuwa najisi.

Kusoma sura kamili Nehemia 7