Agano la Kale

Agano Jipya

Mika 5:9-12 Biblia Habari Njema (BHN)

9. Waisraeli watawashinda adui zaona kuwaangamiza kabisa.

10. Mwenyezi-Mungu asema,“Wakati huo nitawaondoa farasi wenu,na kuyaharibu magari yenu ya farasi.

11. Nitaiharibu miji ya nchi yenu,na kuzibomolea mbali ngome zenu.

12. Nitatokomeza matendo yenu ya uchawi,nanyi hamtakuwa tena na wapiga ramli.

Kusoma sura kamili Mika 5