9. Waisraeli watawashinda adui zaona kuwaangamiza kabisa.
10. Mwenyezi-Mungu asema,“Wakati huo nitawaondoa farasi wenu,na kuyaharibu magari yenu ya farasi.
11. Nitaiharibu miji ya nchi yenu,na kuzibomolea mbali ngome zenu.
12. Nitatokomeza matendo yenu ya uchawi,nanyi hamtakuwa tena na wapiga ramli.