Agano la Kale

Agano Jipya

Mika 5:8 Biblia Habari Njema (BHN)

Wazawa wa Yakobo watakaobaki hai,wameenea miongoni mwa mataifa na watu wengiwatakuwa na nguvu kubwakama simba kati ya wanyama wa porini,kama mwanasimba miongoni mwa makundi ya kondoo,ambaye kila mahali apitapo,huyarukia na kuyararua mawindo yake,asiwepo mtu yeyote wa kuyaokoa.

Kusoma sura kamili Mika 5

Mtazamo Mika 5:8 katika mazingira