Agano la Kale

Agano Jipya

Esta 6:10 Biblia Habari Njema (BHN)

Hapo mfalme akamwambia Hamani, “Fanya haraka! Chukua mavazi hayo na farasi, ukamtunukie heshima hii Mordekai, Myahudi ambaye hukaa penye lango la ikulu. Usiache kumfanyia hata jambo moja kati ya hayo uliyoyataja.”

Kusoma sura kamili Esta 6

Mtazamo Esta 6:10 katika mazingira