Agano la Kale

Agano Jipya

Esta 6:9 Biblia Habari Njema (BHN)

na mmoja wa washauri wako wa kuheshimika, ee mfalme, amvishe mtu huyo mavazi hayo ya kifalme, na kumwongoza mtu huyo akiwa amepanda farasi wako mpaka kwenye uwanja wa mji, huku anatangaza: ‘Hivi ndivyo anavyotendewa mtu ambaye mfalme amependa kumpa heshima.’”

Kusoma sura kamili Esta 6

Mtazamo Esta 6:9 katika mazingira