Agano la Kale

Agano Jipya

Esta 6:11 Biblia Habari Njema (BHN)

Basi, Hamani akachukua mavazi hayo na kumvisha Mordekai, akamtembeza kwenye uwanja wa mji akiwa juu ya farasi wa mfalme, huku anatangaza: “Hivi ndivyo anavyotendewa mtu ambaye mfalme amependa kumpa heshima.”

Kusoma sura kamili Esta 6

Mtazamo Esta 6:11 katika mazingira