Agano la Kale

Agano Jipya

Danieli 10:1 Biblia Habari Njema (BHN)

Mnamo mwaka wa tatu wa utawala wa mfalme Koreshi wa Persia, Danieli, aliyeitwa pia Belteshaza, alipewa ufunuo. Ufunuo huo ulikuwa wa kweli, lakini ulikuwa mgumu sana, haukueleweka. Hata hivyo alielewa ufunuo huo maana pia alifahamu maono.

Kusoma sura kamili Danieli 10

Mtazamo Danieli 10:1 katika mazingira