Agano la Kale

Agano Jipya

2 Wafalme 9:26 Biblia Habari Njema (BHN)

Mwenyezi-Mungu alisema, ‘Kwa ile damu ya Nabothi na kwa damu ya wanawe niliyoona jana naapa kwamba nitakulipiza kisasi katika shamba hilo.’ Kwa hiyo, chukua maiti ya Yoramu uitupe katika shamba la Nabothi kama alivyosema Mwenyezi-Mungu.”

Kusoma sura kamili 2 Wafalme 9

Mtazamo 2 Wafalme 9:26 katika mazingira