Agano la Kale

Agano Jipya

2 Wafalme 9:25 Biblia Habari Njema (BHN)

Yehu akamwambia msaidizi wake Bidkari, “Chukua hiyo maiti yake uitupe katika shamba hilo la Nabothi Myezreeli. Kwa maana, kumbuka wewe na mimi tulipokuwa tumepanda farasi wetu nyuma ya baba yake Ahabu, jinsi Mwenyezi-Mungu alivyonena maneno haya dhidi yake.

Kusoma sura kamili 2 Wafalme 9

Mtazamo 2 Wafalme 9:25 katika mazingira