Agano la Kale

Agano Jipya

2 Wafalme 9:27 Biblia Habari Njema (BHN)

Ahazia mfalme wa Yuda alipoona yaliyotukia alikimbia akielekea Nyumba ya Bustani, huku akifuatwa na Yehu. Yehu akawaamuru watu wake, “Muueni naye pia!” Nao wakampiga mshale akiwa garini kwenye njia ya kupanda Guri karibu na mji wa Ibleamu. Halafu alikimbilia Megido na kufia huko.

Kusoma sura kamili 2 Wafalme 9

Mtazamo 2 Wafalme 9:27 katika mazingira