Agano la Kale

Agano Jipya

2 Wafalme 13:12 Biblia Habari Njema (BHN)

Matendo mengine yote ya Yehoashi, ushujaa wake na vita alivyopigana na mfalme Amazia wa Yuda, yameandikwa katika Kitabu cha Mambo ya Nyakati za Wafalme wa Israeli.

Kusoma sura kamili 2 Wafalme 13

Mtazamo 2 Wafalme 13:12 katika mazingira