Agano la Kale

Agano Jipya

2 Wafalme 13:11 Biblia Habari Njema (BHN)

Yehoashi pia alitenda dhambi dhidi ya Mwenyezi-Mungu na kufuata mfano wa mfalme Yeroboamu mwana wa Nebati ambaye aliwapotosha watu wa Israeli.

Kusoma sura kamili 2 Wafalme 13

Mtazamo 2 Wafalme 13:11 katika mazingira