Agano la Kale

Agano Jipya

2 Wafalme 13:13 Biblia Habari Njema (BHN)

Yehoashi alifariki na kuzikwa katika makaburi ya kifalme huko Samaria, naye mwanawe Yeroboamu wa pili akatawala mahali pake.

Kusoma sura kamili 2 Wafalme 13

Mtazamo 2 Wafalme 13:13 katika mazingira