Agano la Kale

Agano Jipya

2 Wafalme 13:10 Biblia Habari Njema (BHN)

Katika mwaka wa thelathini na saba wa enzi ya mfalme Yoashi wa Yuda, Yehoashi mwanawe Yehoahazi, alianza kutawala Israeli huko Samaria, na enzi yake ikaendelea kwa miaka kumi na sita.

Kusoma sura kamili 2 Wafalme 13

Mtazamo 2 Wafalme 13:10 katika mazingira