Agano la Kale

Agano Jipya

2 Samueli 19:7 Biblia Habari Njema (BHN)

Sasa, simama uzungumze na watumishi wako kwa upole. Maana, naapa kwa Mwenyezi-Mungu kwamba, kama huendi kuzungumza nao, hakuna hata mmoja atakayebaki pamoja nawe leo jioni. Hili litakuwa jambo baya zaidi kwako kuliko maovu yote yaliyokupata tangu ujana wako hadi leo.”

Kusoma sura kamili 2 Samueli 19

Mtazamo 2 Samueli 19:7 katika mazingira