Agano la Kale

Agano Jipya

2 Samueli 19:6 Biblia Habari Njema (BHN)

Wewe unawapenda wale wanaokuchukia na unawachukia wale wanaokupenda. Umetuonesha waziwazi leo kwamba makamanda na watumishi wako hawana maana kwako. Naona kuwa leo, kama Absalomu angekuwa hai, na sisi sote tungalikuwa tumekufa, wewe ungefurahi.

Kusoma sura kamili 2 Samueli 19

Mtazamo 2 Samueli 19:6 katika mazingira