Agano la Kale

Agano Jipya

2 Samueli 19:8 Biblia Habari Njema (BHN)

Kisha, mfalme akatoka akaenda, akaketi mahali pake karibu na lango. Watu wote walipoambiwa kuwa mfalme yuko langoni, wote walimwendea.Wakati huo, watu wote wa Israeli walikuwa wamekimbia, kila mmoja nyumbani kwake.

Kusoma sura kamili 2 Samueli 19

Mtazamo 2 Samueli 19:8 katika mazingira