Agano la Kale

Agano Jipya

2 Samueli 19:5 Biblia Habari Njema (BHN)

Ndipo Yoabu alipoingia nyumbani kwa mfalme, akamwambia, “Leo umetuaibisha sisi watumishi wako wote ambao leo tumeyaokoa maisha yako, maisha ya watoto wako wa kiume, na maisha ya watoto wako wa kike, maisha ya wake zako na maisha ya masuria wako.

Kusoma sura kamili 2 Samueli 19

Mtazamo 2 Samueli 19:5 katika mazingira