Agano la Kale

Agano Jipya

2 Samueli 16:3 Biblia Habari Njema (BHN)

Mfalme akamwuliza, “Mwana wa bwana wako yuko wapi?” Siba akamwambia mfalme, “Yeye amebaki mjini Yerusalemu kwa sababu anadhani kwamba watu wa Israeli watamrudishia ufalme wa Shauli babu yake.”

Kusoma sura kamili 2 Samueli 16

Mtazamo 2 Samueli 16:3 katika mazingira