Agano la Kale

Agano Jipya

2 Samueli 16:2 Biblia Habari Njema (BHN)

Mfalme akamwuliza Siba, “Kwa nini umeleta vitu hivi?” Siba akamjibu, “Punda ni kwa ajili ya kupanda jamaa yako, mikate na matunda ya kiangazi ni kwa ajili ya vijana wote, nayo divai ni kwa ajili ya watakaozimia jangwani.”

Kusoma sura kamili 2 Samueli 16

Mtazamo 2 Samueli 16:2 katika mazingira