Agano la Kale

Agano Jipya

2 Samueli 16:4 Biblia Habari Njema (BHN)

Mfalme akamwambia Siba, “Basi, yale yaliyokuwa mali ya Mefiboshethi sasa ni mali yako.” Siba akamwambia, “Nashukuru, bwana wangu mfalme, nami naomba nipate fadhili mbele yako daima.”

Kusoma sura kamili 2 Samueli 16

Mtazamo 2 Samueli 16:4 katika mazingira