Agano la Kale

Agano Jipya

2 Samueli 16:1 Biblia Habari Njema (BHN)

Daudi alipokuwa amekipita kidogo kilele cha mlima, Siba mtumishi wa Mefiboshethi alimlaki Daudi akiwa na punda wawili ambao walikuwa wametandikwa huku wamebeba mikate200, vishada 100 vya zabibu kavu, matunda 100 ya kiangazi na kiriba cha divai.

Kusoma sura kamili 2 Samueli 16

Mtazamo 2 Samueli 16:1 katika mazingira