Agano la Kale

Agano Jipya

2 Samueli 13:27 Biblia Habari Njema (BHN)

Lakini Absalomu alizidi kumsihi, na mwishowe mfalme akamruhusu Amnoni na wanawe wengine waende kwenye sherehe hiyo.

Kusoma sura kamili 2 Samueli 13

Mtazamo 2 Samueli 13:27 katika mazingira