Agano la Kale

Agano Jipya

2 Samueli 13:28 Biblia Habari Njema (BHN)

Absalomu akawaambia watumishi wake, “Mwangalieni Amnoni atakapokuwa amekunywa divai na kufurahi. Nitakapowaambia, ‘Mpigeni Amnoni,’ muueni. Hiyo ni amri yangu kwenu. Jipeni moyo na muwe hodari.”

Kusoma sura kamili 2 Samueli 13

Mtazamo 2 Samueli 13:28 katika mazingira