Agano la Kale

Agano Jipya

1 Wafalme 3:16-18 Biblia Habari Njema (BHN)

16. Siku moja, wanawake wawili makahaba, walikwenda kwa mfalme Solomoni.

17. Mmoja wao akasema, “Ee bwana wangu, mimi na huyu mwenzangu tunakaa nyumba moja; mimi nilijifungua mtoto wakati huyu dada yumo nyumbani.

18. Siku tatu baadaye, huyu naye alijifungua mtoto. Hapakuwa na mtu mwingine nyumbani ila sisi wawili tu.

Kusoma sura kamili 1 Wafalme 3