Agano la Kale

Agano Jipya

1 Wafalme 3:15 Biblia Habari Njema (BHN)

Solomoni alipoamka, alitambua kwamba ilikuwa ndoto. Ndipo akarudi Yerusalemu, akasimama mbele ya sanduku la agano la Mwenyezi-Mungu, akamtolea tambiko za kuteketezwa na za amani. Halafu akawafanyia karamu watumishi wake wote.

Kusoma sura kamili 1 Wafalme 3

Mtazamo 1 Wafalme 3:15 katika mazingira