Agano la Kale

Agano Jipya

1 Wafalme 20:13 Biblia Habari Njema (BHN)

Wakati huohuo, nabii mmoja akamwendea Ahabu, mfalme wa Israeli, akamwambia, “Mwenyezi-Mungu asema hivi: ‘Unaona wingi wa majeshi haya? Leo hii nitawatia mikononi mwako, nawe utatambua kwamba mimi ndimi Mwenyezi-Mungu.’”

Kusoma sura kamili 1 Wafalme 20

Mtazamo 1 Wafalme 20:13 katika mazingira