Agano la Kale

Agano Jipya

1 Samueli 3:5 Biblia Habari Njema (BHN)

Kisha Samueli akamwendea Eli kwa haraka, akamwambia, “Nimekuja kwani umeniita.” Lakini Eli akamwambia, “Mimi sijakuita. Nenda ukalale.” Samueli akarudi na kulala.

Kusoma sura kamili 1 Samueli 3

Mtazamo 1 Samueli 3:5 katika mazingira