Agano la Kale

Agano Jipya

1 Samueli 3:6 Biblia Habari Njema (BHN)

Mwenyezi-Mungu akamwita tena, “Samueli!” Samueli akaamka, akamwendea Eli na kumwambia, “Nimekuja, kwani umeniita.” Lakini Eli akamwambia, “Sikukuita mwanangu, kalale tena.”

Kusoma sura kamili 1 Samueli 3

Mtazamo 1 Samueli 3:6 katika mazingira