Agano la Kale

Agano Jipya

1 Samueli 2:29 Biblia Habari Njema (BHN)

Kwa nini basi, umezionea wivu tambiko na sadaka nilizowaamuru watu waniletee? Wewe umewastahi watoto wako kuliko mimi kwa kujinenepesha nyinyi wenyewe kwa kula sehemu nzurinzuri za sadaka ambazo watu wangu wa Israeli hunitolea!’

Kusoma sura kamili 1 Samueli 2

Mtazamo 1 Samueli 2:29 katika mazingira