Agano la Kale

Agano Jipya

1 Samueli 2:30 Biblia Habari Njema (BHN)

Kwa hiyo, Mwenyezi-Mungu, Mungu wa Israeli, anatamka hivi, ‘Niliahidi kwamba jamaa yako na jamaa ya wazee wako mtakuja mbele yangu kunitumikia milele;’ lakini sasa Mwenyezi-Mungu anakutangazia hivi, ‘Jambo hilo liwe mbali nami.’ Nitawaheshimu wale wanaoniheshimu, na wale wanaonidharau, nitawadharau.

Kusoma sura kamili 1 Samueli 2

Mtazamo 1 Samueli 2:30 katika mazingira