Agano la Kale

Agano Jipya

1 Samueli 2:28 Biblia Habari Njema (BHN)

Kati ya makabila yote ya Israeli nilimchagua Aroni na jamaa yake kuwa makuhani wangu, wanitumikie madhabahuni, wafukize ubani na kuvaa kizibao mbele yangu. Nikaipatia jamaa ya mzee wako tambiko zangu ambazo Waisraeli walinitolea kwa moto.

Kusoma sura kamili 1 Samueli 2

Mtazamo 1 Samueli 2:28 katika mazingira