Agano la Kale

Agano Jipya

1 Samueli 17:40 Biblia Habari Njema (BHN)

Daudi akachukua fimbo yake mkononi, akajichagulia mawe matano mazuri kutoka kwenye kijito, akayatia katika mfuko wake wa mchungaji. Kombeo lake likiwa tayari mkononi mwake, akaanza kumwendea Goliathi Mfilisti.

Kusoma sura kamili 1 Samueli 17

Mtazamo 1 Samueli 17:40 katika mazingira