Agano la Kale

Agano Jipya

1 Samueli 17:39 Biblia Habari Njema (BHN)

Daudi akajifunga upanga wa Shauli, akajaribu kutembea; lakini akashindwa kwa kuwa hakuyazoea mavazi kama hayo. Akamwambia Shauli, “Siwezi kwenda vitani nikiwa nimevaa mavazi haya, kwani mimi sijayazoea.” Kwa hiyo, akayavua.

Kusoma sura kamili 1 Samueli 17

Mtazamo 1 Samueli 17:39 katika mazingira